Kwa mujibu wa Mastercard foundation ,vijana wa EAC wanaendelea kusaka kila mbinu za kuendeleza ujuzi wao pamoja na kujitafutia ajira .
Hilda Namakula mtafiti wa Uganda amesema bado vijana hawajapewa fursa za kushiriki kikamilifu kwenye kazi na kutoa maamuzi .
Utafiti huo umelalamikia kwamba ijapokuwa fursa za ajira ni chache miongoni mwa vijana waliohitimu katika nchi hizi,serikali zinatakiwa kutoa ushirikiano na wakati kwa vijana ili kusikia changamoto zao na kuwawezesha.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |