Taarifa iliyotolewa na Tume hiyo imesema, mafunzo hayo yanalenga kuongeza uelewa wa maofisa wa usalama kuhusu hatari za uhalifu wa kingono na kijinsia, na vurugu zinazohusiana na uhalifu wa kingono.
Mafunzo hayo yaliyoandaliwa kwa pamoja na wizara ya wanawake na masuala ya haki za binadamu ya Somalia na Tume hiyo, iliwakutanisha maofisa 54 ambao pia walipata mafunzo kuhusu haki za binadamu na jinsi ya kulinda uhuru wa kundi lililo hatarini.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |