• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Kenya KCB imeondoa gharama inayotozwa wateja wanaotumia M-pesa paybill

    (GMT+08:00) 2017-08-28 20:10:18

    Benki ya Biashara ya Kenya KCB imeondoa gharama inayotozwa wateja wanaotumia paying bills kutoka kwenye akaunti zao za benki kwa nambari ya malipo ya M-Pesa.

    Huduma ya bure imewezeshwa na bidhaa mpya ya benki ya simu inayoitwa MyKash ilianzishwa na wawekezaji mapema wiki iliyopita.

    wafanyabiashara wa M-pesa, kupitia bidhaa hiyo, wataweza kununua akiba zao, moja kwa moja kutoka kwa akaunti zao za benki kutoka mahali popote.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako