Hatimaye wakimbizi wa Burundi walioko Tanzania wataanza safari ya kwanza kurejea nyumbani mwezi huu kutokana na makubaliano yaliyofikiwa kati ya Serikali Tanzania, Burundi na Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi (UNHCR).
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |