Mkutano wa 29 wa kamati ya 12 ya bunge la umma la China jana ulipitia sheria ya usalama wa nyuklia ya China. Sheria hiyo itakayotekelezwa rasmi tarehe 1 mwezi Januari mwaka 2018 itakuwa na uhumimu mkubwa kwa maendeleo ya sekta ya nishati ya nyuklia ya China na kulinda usalama wa nyuklia.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |