Hatua hiyo ya Shirikisho inakuja baada ya PSG kufanya usajili ghali duniani wa mchezaji Neymar Jr. kutoka Barcelona kwa ada ya Pauni milioni 220 ada ambayo imeongezeka pauni milioni 100 zaidi ya ile ya Mchezaji ghali msimu 2016-2017 kiungo Paul Pogba huku timu hiyo ikihusishwa pia kutoa zaidi ya Pauni milioni 160 kwa kinda Kylian Mbappe ambaye amejiunga na Klabu hiyo kwa mkopo akitokea Monaco.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |