Hii ilikuwa ni mechi ya pili baada ya ile ya kwanza kwenye uwanja wa Camp Nou jijini Barcelona ambako wenyeji walipoteza kwa maba0 2-4.
Katika mechi hiyo kwenye Uwanja wa Old Trafford wenyeji ndiyo walianza kufunga mabao 2 hadi mapumziko.
Bao la kwanza liliwekwa kimiani na Van Nistelrooy kwa mkwaji wa penalti baada ya Karel Poborsky kuangushwa na Danny Webber akafunga la pili. Kipindi cha pili, FC Barcelona walisawazisha kupitia Luis Garcia na Gaizka Mandieta.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |