Michuano ya kufuzu kombe la dunia mwaka 2018
(GMT+08:00) 2017-09-05 08:06:46
Timu kadhaa za Afrika leo zitamenyana kwa ajili ya kujiandaa kwa kombe la dunia itakayofanyika mwakani nchini Urusi. Michezo ya leo itakutanisha Congo v Ghana, Afrika Kusini v Cape Verde, Cote d'Ivoire v Gabon, DR Congo v Tunisia, Misri v Uganda, Burkina Faso v Senegal, Mali v Morocco na Algeria v Zambia.