• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Rais wa La Liga aiomba UEFA kuichunguza Man City

    (GMT+08:00) 2017-09-05 08:07:42
    Shirikisho la soka nchini Hispania La Liga limeiandikia barua shirikisho la soka barani ulaya UEFA wakitoa malalamiko kuhusu ukiukwaji wa sheria za matmizi ya FFP unaofanywa na klabu ya Man City.

    Rais wa La Liga Javier Tebas ametoa malalmiko hayo kuhusu wamiliki wa klabu ya Manchester City ambao pia ni wamiliki wa klabu ya PSG kutokana na matumizi makubwa ya kifedha wanayoyafanya.

    PSG na Manchester City wote wanamilikiwa na matajiri wa Qatar na toka wamezichukua timu hizo zimekuwa na matumizi makubwa sana ya pesa hali ambayo raisi wa La Liga amesema ni tishio kwa soka.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako