• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Michuano ya wazi ya Tennis nchini Marekani, Pliskova atinga robo fainali

    (GMT+08:00) 2017-09-05 08:15:46

    Karolina Pliskova aamefanikiwa kutinga robo fainali ya michuano ya wazi ya tennis inayoendelea nchini Marekani kwa kumshinda Jennifer Brady marekani kwa jumla ya seti 6-1 na 6-0 mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa Arthur Ashe.

    Karolina sasa atakutana na Coco Vandeweghe katia raundi inayofuata.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako