Michuano ya wazi ya Tennis nchini Marekani, Pliskova atinga robo fainali
(GMT+08:00) 2017-09-05 08:15:46
Karolina Pliskova aamefanikiwa kutinga robo fainali ya michuano ya wazi ya tennis inayoendelea nchini Marekani kwa kumshinda Jennifer Brady marekani kwa jumla ya seti 6-1 na 6-0 mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa Arthur Ashe.
Karolina sasa atakutana na Coco Vandeweghe katia raundi inayofuata.