Mechi nyingine ilikuwa kati ya Ghana na Congo Brazzaville, mchezaji wa Atletico Madrid Thomas Partey alifunga hat-trick kwa Ghana ikiibuka na ushindi mnono wa goli 5-1, Cape Verde imeifunga Afrika Kusini 2-1, DRC wakitoshana nguvu ya 0-0 na Tunisia, Gabon licha ya kuwa pungufu wameizamisha Ivory Coast 2-1 na Mali na Morocco wakimaliza kwa suluhu ya 0-0.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |