• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Reli ya TAZARA imetoa mchango mkubwa kwa ustawi wa Afrika katika miaka 50 iliyopita

    (GMT+08:00) 2017-09-06 09:11:56

    Serikali za China, Tanzania na Zambia zilisaini makubaliano kuhusu kujenga reli ya TAZARA Septemba 5 mwaka 1967 hapa Beijing. Katika miaka 50 iliyopita, reli hiyo inayosifiwa kuwa reli ya uhuru na reli ya urafiki, kwa ujumla imesafirisha zaidi ya tani milioni 30 za mizigo na abiria zaidi ya milioni 40, na kutoa mchango mkubwa kwa maendeleo na ustawi wa Afrika.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako