Shule za msingi na sekondari nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zilipangwa kufunguliwa wiki hii. Licha ya maandalizi yaliyofanywa na wazazi siku chache kabla ya kabla ya kufunguliwa kwa shule, walimu waliamua kuweka chini chaki na kutaka serikali iboreshe kwanza mazingira ya kazi kabla ya wao kurudi kazini.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |