Mshambuliaji chipukizi wa Tanzania, Yohana Oscar Nkomola amefuzu majaribio katika klabu ya Esperance ya Tunisia na sasa anatarajiwa kusaini mkataba.
Nkomola alikuwa timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 17, Serengeti Boys iliyoshiriki fainali za vijana Afrika Mei mwaka huu nchini Gabon.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |