Serikali ya Uganda imewarudisha waliokuwa waasi wa kundi la M23 nyumbani kwao Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, siku chache baada ya serikali ya Uganda kulalamika kuwa waasi hao bado wanaendelea kuvuruga amani. Baadhi ya watu hao wameonyesha nia ya kutaka kurudi nyumbani baada ya hali nyumbani kutulia.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |