Rafael Nadal ameshinda taji la michuano ya 16 ya wazi ya tennis kwa kumfunga Kevin Anderson wa Afrika Kusini jumla ya seti 6-3, 6-3 na 6-4 huko New York Marekani.
Mhispania huyu, mwenye umri wa miaka 31, sasa ameshinda Slams mbili ndani ya mwaka mmoja kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2013, baada ya kushinda michuano ya wazi ya tennis yaliyofanyika nchini Ufaransa mwezi Juni.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |