• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Celtic yaingia matatani na UEFA baada ya shabiki kuingia uwanjani

    (GMT+08:00) 2017-09-13 08:16:48

    Timu ya Celtic imeingia matatani na UEFA baada ya shabiki wa timu hiyo kuingia uwanjani wakati wa mechi na kutaka kumpiga mshambuliaji mpya wa PSG, Kylian Mbappe.

    Hata hivyo, shabiki huyo alimkosa Mbappe na kuanza kukimbia kutoka nje baadaye akakamatwa na walinzi. Tukio hilo lilitokea katika kipindi cha kwanza cha mechi ya ligi ya mabingwa llaya na wenyeji Celtic walipoteza kwa mabao 5-0.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako