Watu 22 wameuawa katika mashambulizi ya anga yaliyofanywa na jeshi la muungano linaloongozwa na Marekani nchini Syria katika eneo la makazi la mji wa Ar Raqqah na kaskazini mwa jimbo la Deir al-Zor.
Habari zinasema, katika miezi ya hivi karibuni, mashambulizi ya anga ya jeshi hilo yameua mamia ya raia nchini humo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |