• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Kenya –Benki huenda zarudishiwa nguvu ya kumua asilimia ya riba ya mkopo wanaotoa kwa wateja

    (GMT+08:00) 2017-09-15 18:14:54
     Gavana wa benki kuu ya Kenya Bw Patrick Njoroge amesema benki huenda zikarudishiwa nguvu ya kumua asilimia ya riba ya mkopo wanaotoa kwa wateja. Akizungumza na waandishi wa habari, Njoroge amesema sheria ya kubana riba wanayotoa huenda ikaondolewa kutokana na matatizo ya hapa na pale ambazo yameshuhudiwa tangu sheria hiyo iwekwe.

    Hata hivyo Njoroge hakutaja tarehe sheria hiyo itakapobadilishwa lakini amewahakikishia wawekezaji kuwa Kenya inalenga kuegemea sera za kutilia mkazo soko na kuwa sheria ya kubana riba wanazotoza ilikuwa ni ya muda tu kufuatia ukosefu wa nidhamu uliokuwepo kwenye soko la mikopo wakati huo. Mwaka jana, bunge la Kenya lilipitisha mswada wa kubana riba za banki hadi asilimia 4 hatua ambayo ilipongezwa na wakenya na kupingwa na bebki nchini humo.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako