China yahimiza kuimarisha nguvu ya kushughulikia haki za binadamu
Taarifa hiyo imetoa mapendekezo manne ikiwemo kufuata kanuni ya katiba ya Umoja wa Mataifa, kuheshimu ukamilifu wa mamlaka na ardhi ya kila nchi, na njia na mfumo wa jamii ilizozichagua na juhudi na mafanikio yake ya kuendeleza haki za binadamu, kushikilia mazungumzo na mawasiliano kuhusu masuala ya haki za binadamu. kushikilia njia ya ushirikiano na mafanikio ya pamojana kuendeleza haki za binadamu kwa kupitia kupungua umaskani. La tano ni kuendeleza haki za binadamu kwa kupitia maendeleo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |