Nchi wanachama wa IGAD zimesema, Al-Shabaab inajaribu kuharibu faida ambazo watu na serikali ya Somalia wamepata kithabiti, kufanya kazi kwa bidii na matumaini.
Nchi wanachama wa IGAD zimeridhishwa na ujasiri unaofanywa na askari wa serikali ya somalia katika kulinda nchi yao, serikali yao na watu wao dhidi ya mashambulizi ya mara kwa mara.
wapiganaji wa Al-Shabaab hivi karibuni wameongeza mashambulizi dhidi ya vikosi vya Umoja wa Afrika na majeshi ya Somalia huko Mogadishu na kusini mwa Somalia.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |