Usiku wa kuamkia jana nchini Marekani kumepigwa pambano ndondi kati ya Canelo Alvarez alivaana na Gennady Golvkin katika uwanja wa T Mobile nchini huko katika pambano ambalo lilimalizika kwa kutokuwa na mbabe baada ya majaji kuamua matokeo ni sare.
Mashabiki 22,358 waliojitokeza walishuhudia Golovkin akibaki na mikanda yake ya WBC,WBF na WBO katika ngazi ya middleweight.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |