Tanzania imesisititiza kuwa haina uhusiano wowote wa kibiashara na Korea Kaskazini unaokwenda kinyume na maazimio ya baraza la usalama la umoja wa mataifa, kama ilivyoelezwa kwenye ripoti Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, iliyodai kuwa Tanzania inaendelea kununua silaha kutoka kwa Korea Kaskazini licha ya vikwazo na jumuiya ya kimataifa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |