Idara ya Takwimu ya Taifa imesema, kati ya miji 70 iliyofanyiwa utafiti mwezi Agosti, kasi ya kupanda kwa bei za nyumba imeshuka katika miji 15 mikubwa ikilinganishwa na mwaka jana. Takwimu hizo zinaonyesha kuwa, bei za nyumba mpya zilishuka au kubaki zilizoko katika miji 13 mwezi uliopita.
Bei ya nyumba katika miji 15 mikubwa ilishuka kutoka asilimia 1.3 mpaka asilimia 6.6 mwezi Agosti ikilinganishwa na mwaka jana wakati kama huu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |