Timu ya Stone Town imeibamiza JKU jumla ya vikapu 49-45 katika mchezo uliokuwa na ushindani mkubwa baina ya timu zote mbili kucheza mchezo wa kujihami zaidi.
Wakati huo huo, pazia la msimu wa ligi kuu soka visiwani Zanzibar linatarajiwa kufunguliwa rasmi leo kwa mchezo wa ngao ya jamii kati ya JKU na Miembeni City mchezo utakaochezwa uwanja wa Amaan mjini Unguja.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |