Mbio hizo zilifanyika katika mji wa Carlsbad magharibi mwa Bohomia kilomita 130 kutoka mji mkuu wa Prague. Nafasi ya kwanza imechukuliwa na mwanariadha wa Kenya Barselius Kipyego aliyetumia dakika 59:14
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |