kocha wa timu hiyo David Yombayomba amesema wapo kwenye maandalizi na tayari timu imeshapatikana na mazoezi yanaendelea kwenye uwanja wa ndani wa taifa ambapo wanatarajia kujipima na timu mbalimbali zikiwemo kutoka Kenya na Uganda.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |