Rooney alikamatwa kwenye kitongoji cha Wilmslow, Cheshire kwa kosa la kuendesha gari akiwa amelewa Septemba 1. Rooney pia atalipa faini ya Pauni 170 kwa kosa hilo. Mchezaji huyo ameomba radhi kwa familia yake, klabu yake ya sasa Everton na mashabiki wa soka.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |