Alitwaa ubingwa wa dunia mwezi Januari mwaka jana kwa kumshinda Yazmin Rivas wa Mexico, na akapoteza taji hilo mwezi wa nne mwaka huu aliposhindwa kwa pointi na Mariana Juanez.
Catherine ameshinda mapigano 13, 7 kwa KO na akashindwa mara mbili.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |