Wakulima wa mahindi wa eneo la bonde la ufa nchini Kenya wametahadharisha kuhusu uwezekano wa kupata mavuno kidogo ya mahindi kwa mwaka kesho, kutokana na mashamba yao kuvamiwa na viwavi. Tahadhari hii imetolewa wakati Kenya inaendelea baadhi ya maeneo ya Kenya yanaendelea kukumbwa na uhaba wa chakula kutokana na madhara ya ukame mkali wa mwaka jana.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |