• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Kenya: kuanza kutengeneza pamba kwa njia ya kisayansi mwezi ujao

    (GMT+08:00) 2017-09-25 19:12:15

    Wakenya hivi karibuni wataanza kutengeneza pamba kwa njia ya kisayansi maarufu GMO.

    Kuanzishwa kwa pamba iliyotengenezwa kwa njia ya kisayansi nchini Kenya, wawekezaji wakuu katika sekta hiyo wamesema, itasaidia kuongeza uzalishaji, kuongeza mapato ya wakulima na kujenga ajira zaidi.

    Waziri wa Kilimo Willy Bett alithibitisha kwamba Serikali imekubali kuzalishwa kwa pamba ya kisayansi.

    Kwa mujibu wa wawekezaji wa viwanda, pamba iliyotengenezwa kwa njia ya kisayansi inaweza kutoa asilimia 80 ya mazao ya juu.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako