Klabu ya soka ya Brigthon Hove Albion Jumapili ikimenyana na Newcastlle United ilifanikiwa kujizolea alama tatu baada ya kuchomoza na ushindi wa bao 1-0 kwa bao la Tomer Hemed la dakika ya 51 kipindi cha kwanza na kufikisha alama 7 katika msimamo wa ligi hiyo. Mechi nyingine ilipigwa jana kwenye dimba la Emirates kati ya Arsenal na West Brom Wich Albion, Arsenal wameiubuka na ushindi wa mabao 2-0. Magoli yamefungwa na mshambuliaji mpya wa timu hiyo Alexandre Lacazette.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |