Mbio hizo ni za mizunguko 4 zitakuwa za kilomita 579.3 zitajumuisha jumla ya wakimbiaji 6 toka Afrika na wa 5 toka Ulaya.
Mashindano hayo mwaka huu yanafanyika kwa mara ya 17 mfululizo tangu kuanzishwa kwake mwaka 2001 nchini Cameroon.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |