Mchezo huo ulimalizika kwa Tp Mazembe kuibuka na ushindi mwembamba wa bao 1-0 lililofungwa na Malango katika dakika ya 14 ya mchezo.
Katika nusu fainali nyingine ya michuano hiyo Super Sport walikuwa nyumbani kuwakaribisha Club African katika mchezo uliopigwa katika dimba la Lucas Moripe na kutoka suluhu ya 1-1.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |