Magoli ya Man United yakifungwa na Fellaini aliyefunga mawili dakika ya 35 na 49, Juan Mata dk 3 na Lukaku 86.
Katika uwanja wa darajani wenyeji Chelsea wamepoteza mechi yao baada ya kufungwa goli 1-0 na Manchester City. Goli la Man City limefungwa na Kevin De Bruyne kipindi cha pili kwa shuti kali na kumshinda mlinda mlango dakika ya 67 Courtois. Arsenal imeendeleza wimbi la ushindi kwa kuichapa Brighton 2-0.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |