Ahadi hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa michezo kutoka Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Yusuph Singo wakati wa kufunga michezo ya kujipima nguvu ya timu ya taifa kujiandaa na michezo ya hito mwakani..
Shirikisho la Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT) katika kuendeleza mchezo huo, hususan katika kuandaa timu ya Taifa mapema kwa ajili ya kushiriki mashindano hayo imesema timu hiyo itecheza michezo kadhaa ndani na nje ya nchi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |