CAF wanatafuta mwandalizi mpya kuchukua nafasi ya Kenya ambayo ilipoteza fursa hiyo baada ya kushindwa kutimiza matakwa ya shirikisho la CAF. Mechi hizo zinatarajiwa kuanza Januari 12 hadi Februari 4 mwaka 2018.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |