Mwanariadha Emmanuel Giniki wa Tanzania alishinda mbio hizo za kilimoita 21 kwa upande wa wanaume kwa kutumia 1:05:10, naye Paschal Mombo wa Kenya alikamata nafasi ya tatu kwa kutumia 1:06:24. nafasi ya kwanza na ya pili kwa upande wa wanawake zilichukuliwa na wanariadha toka Kenya, Dolfin Omary aliyeibuka nafasi ya kwanza kwa kutumia 1:13:10 huku Shelmit Muriuki akimaliza nafasi ya pili kwa kutumia 1:13:40
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |