Evans anasema alitumia dawa hizo kwa bahati mbaya.
Mchezaji huyo namba nne kwa ubora nchini Uingereza alipimwa katika michuano ya Barcelona Open April 24, na kuonekana kutumia dawa hizo, na adhabu hii itaanza tarehe hiyo ilipogunduliwa.
Kwa maana hiyo Evans mwenye miaka 27 atarejea uwanjani April 24, 2018.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |