• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Dan Evans afungiwa mwaka mmoja kutojihusisha na mchezo wa tenisi

    (GMT+08:00) 2017-10-04 08:58:52

    Mchezaji wa tenis muingereza Dan Evans amefungiwa kwa mwaka mmoja kujihusisha na mchezo huo baada ya vipimo alivyochukuliwa kuonyesha kwamba anatumia Cocaine dawa zilizokataliwa michezoni.

    Evans anasema alitumia dawa hizo kwa bahati mbaya.

    Mchezaji huyo namba nne kwa ubora nchini Uingereza alipimwa katika michuano ya Barcelona Open April 24, na kuonekana kutumia dawa hizo, na adhabu hii itaanza tarehe hiyo ilipogunduliwa.

    Kwa maana hiyo Evans mwenye miaka 27 atarejea uwanjani April 24, 2018.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako