Mchezaji huyo aliumia kiwiko cha mkono na kumfanya ashindwe kusonga mbele zaidi. Baada ya timu ya madaktari kuwasili, ilisemekana kwamba hatoweza kumalizia ngwe iliyokuwa imesalia.
Muguruza amesema hakupenda kabisa kuishia katikati ya michuano hiyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |