• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Kufuzu kombe la dunia 2018 bara la ulaya: Iceland wafuzu kwa mara ya kwanza.

    (GMT+08:00) 2017-10-10 09:01:55

    Kwa mara ya kwanza Iceland wamefuzu kombe la dunia huku wakiongoza kundi lao la I baada ya jana kuibuka kidedea kwa goli 2-0 dhidi ya Kosovo, magoli yamefungwa na Sirgudsson na J Gudmundsonn.

    Kwingineko, Antonio Candreva amefunga bao moja na kuisaidia timu yake ya Italia kuifunga Albania huku Hispania ambao wamekwishajikatia tiketi ya kucheza michuano hiyo wakiichapa Israel goli 1-0. Katika kundi D timu ya taifa ya Wales wakiwa nyumbani walikubali kipigo cha goli moja kwa nunge kutoka Ireland, huku Serbia nao wakiwa nyumbani wakaichapa Georgia 1-0.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako