• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Afrika: Wataalam wa kodi wanatoa wito kwa juhudi za pamoja dhidi ya mtiririko wa fedha feki

    (GMT+08:00) 2017-10-16 19:20:10

    Serikali za Afrika himizwa kuwekeza rasilimali zaidi katika kupambana na mtiririko wa kifedha zisizo halali kama njia moja ya kusaidia jitihada za maendeleo katika Jumuiya.

    Dkt, Aida Opoku-Mensah, mshauri mkuu wa Tume ya Uchumi ya Umoja wa Taifa kwa Afrika, amesema changamoto ya mtiririko wa kifedha zisizo halali ni kwamba huzuia maendeleo endelevu katika bara.

    Kwa mujibu wa wataalamu kuna haja ya na sheria za kali na taasisi za kodi zenye uwezo kuwekwa ili kutofautisha kati ya fedha hizo.

    Ripoti ya 2016 inakadiria kuwa Afrika inapoteza angalau dola bilioni 50 kila mwaka kwa biashara haramu.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako