Karia ametoa ahadi ya TFF kushirikiana na bodi hiyo ya ligi kuu katika kuendeleza michezo nchini Tanzania. Na kutoa rai kwa viongozi wa bodi hiyo kusimamia sheria na kanuni za soka kwa ukamilifu bila upendeleo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |