Uamuzi huo umekuja muda mfupi baada ya nchi ya Kenya kupokonywa nafasi ya kuandaa mashindano hayo baada ya kubaini kasoro kadhaa ikiwemo kuchelewa kukamilika kwa maandalizi.
Fainali za CHAN 2018 zimepangwa kuanza Januari 12 na kumalizika Februari 14, 2018 huku jumla ya mataifa 16 yatachuana kuwania taji hilo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |