Katika droo maalum iliyopangwa mjini Zurich, Uswisi yalipo makao makuu ya Shirikisho la soka la kimataifa (FIFA), Ireland ya kaskazini itamenyana na Uswisi.
Jamhuri ya Ireland yenyewe itamenyana na Denmark, wakati Croatia itamenyana na Ugiriki.
Mechi za kwanza zinatarajiwa kuchezwa kati ya Novemba 9 na 11 na za marudiano Novemba 12-14, mwaka huu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |