Vikosi vya ulinzi wa mapinduzi ya kiislamu vya Iran vimetoa taarifa ikisema Iran haitafanya mazungumzo chini ya shinikizo la Marekani, na itaharakisha mpango wake wa kuendeleza makombora. Taarifa inasisitiza ahadi ya Iran ya kuinua ushawishi wake katika eneo la Mashariki ya Kati na kuongeza uwezo wake wa kutafiti na kuendeleza makombora, na kwamba jaribio la Marekani na Israel kuhujumu amani ya Mashariki ya kati halitafaulu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |