• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Ligi kuu Uingereza (EPL): Manchester City yaitungua Burnley, huku Man U ikipoteza.

    (GMT+08:00) 2017-10-23 08:23:19

    Ligi kuu ya Uingereza imeendelea wikiendi iliyoisha, Manchester City ikiifunga Burnley goli 3-0. Mabao ya Man City yaliwekwa kimiani na Sergio Aguero, Nicolas Ota,endi na Leroy Sane.

    Manchester United chini ya kocha wake mwenye maneno mengi Jose Mourinho imejikuta ikiambulia kichapo cha 2-1 dhidi ya Huddersfield.

    Chelsea imeibuka na ushindi wa goli 4-2 dhidi ya Watford, mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa Stamford Bridge. Arsenal imeona mwezi baada ya kuibandika Everton goli 5-2, huku Liverpool ikichezea kichapo cha 4-1 toka kwa Tottenham Hotspur.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako