Barcelona imepata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Malaga katika mchezo wa ligi kuu ya Uhispania –La Liga uliochezwa uwanja wa Camp Nou.
Mabao ya Barca yalifungwa na Gerard Deulofeu dakika ya 2 ya mchezo, huku Andres Iniesta akiifungia Barca goli la pili katika dakika ya 56.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |