Polisi nchini Uingereza wamesema tukio la utekaji nyara lililotokea mjini Nuneaton halina uhusiano na ugaidi. Kwenye ukurasa wa Twitter, polisi wa Warwickshire wamesema tukio hilo bado linaendelea kwenye bustani ya Bermuda mjini humo, na kuthibitisha kuwa halihusiani na vitendo vya kigaidi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |