• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Umoja wa Ulaya watoa euro milioni 106 kuisaidia Sudan kukabiliana na maafa ya asili

    (GMT+08:00) 2017-10-23 08:47:46

    Umoja wa Ulaya umetoa euro milioni 106 kuwasaidia watu wa Sudan wanaokumbwa na maafa ya asili. Waziri mkuu wa Sudan Bw. Bakri Hassan Saleh amekutana na kamishna wa Umoja wa Ulaya anayeshughulikia misaada ya kibinadamu na udhibiti wa misukosuko Bw. Christos Stylianides ambaye yuko ziarani nchini Sudan kwa lengo la kuimarisha ushirikiano kati ya Sudan na umoja huo kwenye misaada ya kibinadamu, kukagua miradi ya umoja huo huko Darfur na kufahamu kuhusu hali ya wakimbizi kutoka Sudan kusini.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako